alexander paulo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 492
- 155
Kupitia vyombo vya habari kwa siku za hivi karibuni tumeona Mh Jafo akimsimamisha Mkurugenzi wa Geita kupisha uchunguzi na pia ametoa maelekezo kama hayo kwa Halmashauri ya Mpanda.
Lakini Mh. Jafo watu wengi wanajiuliza kuna lile Gari la Mkurugenzi wa Temeke ambalo limenunuliwa 400M mwaka 2019 na pia inasemekana kanunua magari aina ya Tata ya kubebea watumishi ambayo nayo wanadai ni mabovu tunaiwekaje hii? Mh chukua hatua kali Mh Raisi anakuamini sana.
Lakini Mh. Jafo watu wengi wanajiuliza kuna lile Gari la Mkurugenzi wa Temeke ambalo limenunuliwa 400M mwaka 2019 na pia inasemekana kanunua magari aina ya Tata ya kubebea watumishi ambayo nayo wanadai ni mabovu tunaiwekaje hii? Mh chukua hatua kali Mh Raisi anakuamini sana.