Wito: Waziri Jafo tumeona maelekezo ya Geita na Mpanda ni maamuzi mazuri, Temeke je?

Na magari 9 aina ya landcruiser VXR V8 ya serikali yaliyopakwa rangi ya kijani wakati wa kampeni yapo wapi sasa ? Nani aliyatoa? Naye awajibishwe.
 
Kwa ujumla TAMISEMI kumeoza, Morogoro barabara mpya tu ni mashimo kwa kwenda mbele. Hata soko jipya halifanani na thamani ya fedha iliyotumika kulijenga. Jafo inabidi akaze buti ili atoboe 5yrs.
Buti lipi la kukaza Ila wadanyika mmekuwa waBwege mpaka mnakera!

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Ungejua huyo unaemuomba akusaidie kuwa ndio tatizo lenyewe wala usingeandika huu ujinga

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha Geita aliambiwa na Rais Magufuli, huko temeke hajaambiwa.
 
Uzi umegeuka wa kupigia chapuo makada, ooh January anafaa ooh Makondakta anafaa,
Wote watoto wa baba mmoja, tusidanganyike na maigizo!

Hata aingie nani mfumo uliopo ndiyo unaotoa mianya yote hiyo!

Nchi inahitaji mfumo imara siyo mtu!

Everyday is Saturday........................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…