Wives are Legends!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Mfungwa mmoja alifanikiwa kutoroka jela baada ya miaka kumi na mbili... akapenyapenya mitaani hadi akafika nyumbani. Mkewe akafungua mlango...kitu cha kwanza kumuuliza.. "kwenye TV wametangaza umetoroka kutoka asubuhi saa hii ni jioni utanieleaza huo muda wote ulikuwa wapi?.... Jamaa aliamua kurudi jela...![emoji124][emoji124][emoji124][emoji36]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawe utakuwa mfungwa na hutapendwa pia hivyohivyo....

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…