Ronaldo ameonyesha wazi leo ana wivu mkubwa sana Kwa Lionel Messi, mafanikio ya Messi ndo yanampa depression kubwa sana , ila tusisahau pia ile ishu ya kufiwa na mwanaye imetingisha sana saikolojia yake.
Ronaldo ameonyesha wazi leo ana wivu mkubwa sana Kwa Lionel Messi, mafanikio ya Messi ndo yanampa depression kubwa sana , ila tusisahau pia ile ishu ya kufiwa na mwanaye imetingisha sana saikolojia yake.
HakikaKweli kabisa hata kwenye biblia inasema kabisa mwenyezi Mungu pia ana wivu
Mkuu mbona kama nakosa uhusiano Kati ya mahojiano ya Ronaldo na wivu Kwa Messi?Ronaldo ameonyesha wazi leo ana wivu mkubwa sana Kwa Lionel Messi, mafanikio ya Messi ndo yanampa depression kubwa sana , ila tusisahau pia ile ishu ya kufiwa na mwanaye imetingisha sana saikolojia yake.
Watu wan mihemuko kila kitu wanachukulia kwa hisiaMkuu mbona kama nakosa uhusiano Kati ya mahojiano ya Ronaldo na wivu Kwa Messi?
Au me ndio nimepitwa, kasema nini kwani kuhusu La Pulga?
Labda yeye kamsikia Ronaldo anaongea maneno ya wivu Kwa Messi ndomana me kabla sjiambishia nimemuomba anijuze namieWatu wan mihemuko kila kitu wanachukulia kwa hisia
Hakuna wabaya kama wazungu na hata ukatili wa waafrika ulikuzwa na unakuzwa sana wazungu.Kuna ile kasumba kwamba watu weusi hawapendi maendeleo ya wengine, mara ooh Wazungu watu poa sana!
Ukweli ni kwamba wivu na figisu ni kwa binadamu wote bila kujali rangi wala kabila!
Ukifuatilia mahojiano na Cristiano Ronaldo leo utajifunza mengi sana uone wazungu pia wana husuda kwa kwenda mbele!
Ila wareno wengi wana Iq ndogo kama wazungu wa Ulaya Mashariki.Kuna ile kasumba kwamba watu weusi hawapendi maendeleo ya wengine, mara ooh Wazungu watu poa sana!
Ukweli ni kwamba wivu na figisu ni kwa binadamu wote bila kujali rangi wala kabila!
Ukifuatilia mahojiano na Cristiano Ronaldo leo utajifunza mengi sana uone wazungu pia wana husuda kwa kwenda mbele!
Mwenyezi Mungu ni Kiumbe ?Kweli kabisa hata kwenye biblia inasema kabisa mwenyezi Mungu pia ana wivu
Kuna ile kasumba kwamba watu weusi hawapendi maendeleo ya wengine, mara ooh Wazungu watu poa sana!
Ukweli ni kwamba wivu na figisu ni kwa binadamu wote bila kujali rangi wala kabila!
Ukifuatilia mahojiano na Cristiano Ronaldo leo utajifunza mengi sana uone wazungu pia wana husuda kwa kwenda mbele!