Wadau jamaa yangu wa karibu kaniomba ushauri: Anasema memsahib wake ana wivu wa kupindua,kafikia hatua sasa majuzi kachukua wembe katoboa toboa kufuli zote za mzee kisa eti eti aone aibu kwenda kwa vimwana na kufuli zanye matobo,na kamwambia ole wake azishone au kununua mpya. Kana kwamba hiyo haitoshi kila akirudi si ruksa kusalula bafuni shurti achojoe chumbani mbele ya bi mkubwa na inuswe kama ina harufu yoyote ya kifisadi!Wadau muungwana kaniomba ushauri nimwambie nini?
Sasa Mkuu Sipo akimdaka si ndo atamkata nonino?Aaaah! Aaaah! Mwambie akiona mumewe ameanza kutembea na briefcase hasishangae kwani ndio atakuwa anaweka makufuli ya akiba ya kubadilisha wakati anaenda kwa small house. Kazi kweli kweli wandugu
Sasa Mkuu Sipo akimdaka si ndo atamkata nonino?
Imagine aisee!
na kweli bana, huyo 'mamsapu viwembe' anaweza kumvizia jamaa kauchapa usingizi mara ..."chwaaaaa, ...chwaaaaaaaa"... kapiga XXX za nguvu uumeni almuradi jamaa auguze kidonda kwa siku kadhaa!
Hii kali...hata akitoboa trousers, if he wants to cheat he will cheat. Wivu mwingine haufai. He needs to talk some sense into her otherwise hiyo relationship itakuwa ngumu.
Aongeze mapigo, kama sasa hivi anampa moja,
mbili a-double
wivu na uvivu vinashabihiana ? Nauliza