Wivu wa kupindukia


Shem

Unapoint sana wewe mtoto wa kike, kwa kweli wenye chuki wacha tu wajinyonge tu.
 
Shem

Unapoint sana wewe mtoto wa kike, kwa kweli wenye chuki wacha tu wajinyonge tu.

Yeah jealousy inaweza ikakukosesha raha sana...ukawa unhappy person in your life...lonelly with no friends around you....even when you go to bed at night you even sleep with a cold heart and unhappy mind.....truly speaking jealousy may kill....
 
Kama vipi si amnunulie likufuli la chuma awe anafunga na funguo anabaki nazo hapo atakomesha mzee kumega nje itakuwa kwisheni ..
Hii ya kutoboa anatengeneza mazingira mazuri zaidi or may be she did that for the sake of ventilation.
 
huu sio wivu bali ni Psychological problem, kwanini usimwamini mtu unaempenda!!!
 

Kinachonipa shida ni hizo nguvu za kuchana kabati zangu anazitoa wapi,yaani nimenunua kwa pesa zangu halafu narudi nakuta umezichana,si unajitafutia mwenyewe kuwa uwanja wa mazoezi.Huo wivu na uputilize kwa kiasi chochote lakini si kwa kufikia hatua ya kuniharibia vitu vyangu.Huyo nina wasiwasi hata na uwezo wake wa kufikiri.
 
Makubwa madogo yana nafuu......... ya kutoboa tena si ndo wampa nafasi ya kuhudumiwa vyema na small house? akimaliza anaziacha huko huko. Miwivu mingine bana


mke kama huyu muda wote anamfikiria mume labda anafanya hiki au ameenda kule kufanya vicvyo, muwape na uhuru jamani mambo ya kukaba mpaka vivuli ya wapi hayo, kama wa kufanya atafanya tu, au anaenda nae ofcn na kumsubiri mpka atoke amrudishe home?....amfunge na kufuli kabisa hiyo naniliii laaa cvyo aache wivu wa kipumbavu, kwanini ajifie kwa presha?....kazi anayo! sasa akinusa aliambiwa ndio atapata jibu kama jamaa kaduu au laaa, nackia hacra kabisa....kwanini mtu ujikwaze kwa kulifikiria lijitu lizima kwa kiac hicho?
 
Aongeze mapigo, kama sasa hivi anampa moja, mbili a-double



some pipo bwana....yaani mnafikiria mapigo kwenye ndoa ndio kila kitu?..unaweza ukabinuka hata na kitanda au ukafanyia chini ya uvungu na juu ya paa na style zote lakini kama wa ku cheat ata cheat hadi kiama.
 
...............AKITHUBUTU KWANGU,she will go home tomorrow morning!no eksichuuz


Sidhani ni Wivu, it's more of being MAD, SHE'S MAD there are ways of sorting problems kama hizi but not kudhalilisha, to and extend ya kunuswa khaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Makubwa madogo yana nafuu......... ya kutoboa tena si ndo wampa nafasi ya kuhudumiwa vyema na small house? akimaliza anaziacha huko huko. Miwivu mingine bana

Yaani hilo lijanamke jinga kweli. Mi akitoboa yangu ndo itakula kwake manake kanirahishia mambo. Hamna kusaula wala nini. Mjengo unapenyezwa kwenye tobo mojawapo shughuli inaendelea. Iwe kwenye motokaa au kwenye kichaka. Hahahahaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…