WIVU WA MADARAKA NDIO UNAFANYA CCM ICHUKIWE,

WIVU WA MADARAKA NDIO UNAFANYA CCM ICHUKIWE,

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
humu kwenye hili jukwaa ukiweka uzi unaoelezea mazuri ya ccm,hata nusu saa haukai unaondolewa.! watu wamesahau kwamba ccm ni chama cha siasa kama vingine ila ndicho kimeshika dola.wivu wa madaraka unawafanya wapenzi wa ccm waonekane hawana haki ya kutoa maoni yao ! nyuzi zote zipewe haki sawa! maana ya siasa ni kushindanisha hoja!
 
Hau
humu kwenye hili jukwaa ukiweka uzi unaoelezea mazuri ya ccm,hata nusu saa haukai unaondolewa.! watu wamesahau kwamba ccm ni chama cha siasa kama vingine ila ndicho kimeshika dola.wivu wa madaraka unawafanya wapenzi wa ccm waonekane hawana haki ya kutoa maoni yao ! nyuzi zote zipewe haki sawa! maana ya siasa ni kushindanisha hoja!
Jielewi wewe kalale basi
 
Hau

Jielewi wewe kalale basi
Wanataka serkali ya maridhiano wamekosa mwenza tangu CUF iachane na sera ya serkali 3 alizopendekeza Warioba. Ilikuwa Waarabu (wa CUF)wachukue Zanzibar na CHADEMA wachukue Bara wajitawale Kikabila kwao. Bunge lilipokataa wakatoka nje hadi leo Waarabu wa Oman ni marafiki zetu huku CHADEMA wamekataliwa Uchaggani. Sasa wanamfront tundulissu sijui kabila gani fundi wa matusi atawale kwa blogu za mariasarangi lakini kila kukicha wanadidimia.
 
ndio ni chama cha siasa chenye nguvu na misingi bora kuliko vyote ,ni chama kilichoshika dola tangia enzi za ukoloni mpaka leo ,nchi ilikuwa na barabara ya lami moja tu !na haikuwa miundombinu yoyote .ccm ndio imeleta haya mageuzi,
 
Back
Top Bottom