Wivu wa mapenzi umekuwa chanzo kikuu cha ulemavu na vifo

Wivu wa mapenzi umekuwa chanzo kikuu cha ulemavu na vifo

Profesa ntare nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2018
Posts
6,955
Reaction score
8,120
Hali imekuwa mbaya ukiachana magonjwa tuliyo nayo kuuwa wapendwa wetu kwa wivu wa mapenzi nao una ua sana.

Baadhi wamekuwa walemavu, kuna haja ya serikali kutoa elimu kwa nguvu zote angalau kupunguza haya madhara.
 
Katiba mpya itaweza kutatua hilo jambo maana maisha yatakua na uafadhali watu hawatochepuka kirahisi
 
Back
Top Bottom