Wivu wa Mbowe unamsukuma kujaribu kutengeneza story ambaz hazipo.

Wivu wa Mbowe unamsukuma kujaribu kutengeneza story ambaz hazipo.

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Dunia ilimsikia Magufuli akimuahidi Lissu Cheo, akawaomba hadi wazee wa Singida waongee na kijana wao.
Leo Mwenda zake ameenda zake, hatukumsikia Lissu akiirudia kauli ile ya Magufuli ili kuchuMbowe credits

Badala yake leo Mbowe ndiye amejivalisha uhusika wa Tundu Lissu, anatembea na story ile kwamba aliambiwa akikubali kuhamia CCM atapewa cheo chochote kile atakachotaka.

Katika matukio haya ambayo hatukumsikia Magufuli akiyaongea au kama mliyaongea sirini, na haukuweza kuyaongea kipindi kile, nakushauri Mbowe ungemuacha Magufuli apumzike. Hawezi kuamka kututhibitishia kama ilikuwa ni kweli ama laah. Huna hadhi ya kujivalisha ujasiri huo. Akingea Tundu Lissu ni sawa, lakini siyo wewe.
 
Dunia ilimsikia Magufuli akimuahidi Lissu Cheo, akawaomba hadi wazee wa Singida waongee na kijana wao.
Leo Mwenda zake ameenda zake, hatukumsikia Lissu akiirudia kauli ile ya Magufuli ili kuchuMbowe credits

Badala yake leo Mbowe ndiye amejivalisha uhusika wa Tundu Lissu, anatembea na story ile kwamba aliambiwa akikubali kuhamia CCM atapewa cheo chochote kile atakachotaka.

Katika matukio haya ambayo hatukumsikia Magufuli akiyaongea au kama mliyaongea sirini, na haukuweza kuyaongea kipindi kile, nakushauri Mbowe ungemuacha Magufuli apumzike. Hawezi kuamka kututhibitishia kama ilikuwa ni kweli ama laah. Huna hadhi ya kujivalisha ujasiri huo. Akingea Tundu Lissu ni sawa, lakini siyo wewe.
Mnaiharibu sana image ya Lissu kwa huu utoto.
 
Magufuli alikataa kuwashirikisha wapinzani uchwara na mabeberu cake ya taifa, badala yake alitaka kila Mtanzania aimege.

Baada ya Magufuli wapinzani uchwara na mabeberu walishirikishwa cake ya taifa. Ukiona mbwa ana bweka sana, mtupie fupa.

Mambo hata yawe magumu kiasi gani baada ya Magufuli; si beberu wala vibaraka wao utawasikia wanapiga kelele kwa kuwa wananufaika.

No wonder Mbowe anahangaika na mwendazake ambaye anajua hawezi kuongea chochote.

Watanzania tunaujua ukweli.
 
Mbowe ni zaidi ya Silinde, Katambi, Shoza na Mashinji.
 
Mtoa mada wewe hujamuelewa Mbowe hapo anamkumbusha lisu alivoahidiwa japo kaongea kimafumbo...siasa mchezo mchafu ukiwa na akili nusu wewe utakuwa niwakufuata mkumbo tu.
 
mbowe anaumwa ugonjwa wa akili unaoitwa "Narcissistic personality disorder." (NPD)
 
Nkuruzinza AYATOLLAH DIKTETA Mugabe Museveni Na Mkabila yote Majina yake hayo Dj Mbowe
 
Back
Top Bottom