Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Huyu mzee ni mjinga sn bado anaota teuziView attachment 2230478WanaCCM wanashida sana
👇
Wakati ccm walichakachua maoni ya tume ya maoni ya warioba na wakachomekeamo yakwako ili kujilindia maslahi yao🚶WanaCCM wana matatizo sana, Mzee Wasira akihojiwa TBC amesema haya...
''Wapinzani wanasema wanataka katiba ya Warioba, Warioba hana katiba, kazi yake ilikuwa ni kukusanya maoni na sheria ya mabadiliko ya katiba ya wakati ule inasema baada ya maoni kukusanywa yanafikishwa katika Bunge maalum na ndio litakaloandika katiba pendekezwa''
Wasira mzee atakufa kwa stress yule mzee. Hii ndio hasara ya kutapanya mali wakato ukiwa kijana. Ukiwa mzee unaanza kusumbua watu.WanaCCM wana matatizo sana, Mzee Wasira akihojiwa TBC amesema haya...
''Wapinzani wanasema wanataka katiba ya Warioba, Warioba hana katiba, kazi yake ilikuwa ni kukusanya maoni na sheria ya mabadiliko ya katiba ya wakati ule inasema baada ya maoni kukusanywa yanafikishwa katika Bunge maalum na ndio litakaloandika katiba pendekezwa''
Warioba alitumwa na watanzania na kazi aliifanya vizuriNani alisema Joseph ana katiba?
Hapo alichokosea ni nini...amesema kweli kuwa Warioba hana katiba..na kazi aliyopewa ilikuwa ni kukusanya maoni...na mwisho ni kuwasilisha kwa bunge maalum la katiba ili kupitia maoni hayo na mwisho kupelekwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura...wivu wa mzee Wassira uko wapi hapo?WanaCCM wana matatizo sana, Mzee Wasira akihojiwa TBC amesema haya...
''Wapinzani wanasema wanataka katiba ya Warioba, Warioba hana katiba, kazi yake ilikuwa ni kukusanya maoni na sheria ya mabadiliko ya katiba ya wakati ule inasema baada ya maoni kukusanywa yanafikishwa katika Bunge maalum na ndio litakaloandika katiba pendekezwa''
Soma vizuri hayo mamneno ya mwanzo uliyo nukuu kuwa kasema Mzee Wassira.." Wapinzani wanasema wanataka katiba ya Warioba...."Nani kasema katiba ni mali ya Warioba?
Amewasahau wajukuu wake huko🚶Wasira mzee atakufa kwa stress yule mzee. Hii ndio hasara ya kutapanya mali wakato ukiwa kijana. Ukiwa mzee unaanza kusumbua watu.
Hivi wasira alisahau nini huko serikalini?
Asante mwenye akili unayeelewa lakini huwezi tetea hoja yako...chuki zitakumalizeni...umeandika mwenyewe unashindwa kutetea hoja yako.."acheni matusi, kama mnatofautiana hoja msitukane" alisema mwenyekiti wa chamaWe boya huelewi kitu.
Asante mwenye akili unayeelewa lakini huwezi tetea hoja yako...chuki zitakumalizeni...umeandika mwenyewe unashindwa kutetea hoja yako.."acheni matusi, kama mnatofautiana hoja msitukane" alisema mwenyekiti wa chamaWe boya huelewi kitu.
Kinadharia uko sahihi lakini kwa kuwa kuna katiba nyingi zilipendekezwa huko nyuma sasa ili kuitofautisha na zilizo pendekezwa awali inaitwa katiba ya Warioba kupunguza maswali ya ni katiba gani inayojadiliwa! Warioba alikuwa Mwenyekiti wa kukusanya maoni ya katiba hiyo.Hapo alichokosea ni nini...amesema kweli kuwa Warioba hana katiba..na kazi aliyopewa ilikuwa ni kukusanya maoni...na mwisho ni kuwasilisha kwa bunge maalum la katiba ili kupitia maoni hayo na mwisho kupelekwa kwa wananchi kwa ajili ya kupigiwa kura...wivu wa mzee Wassira uko wapi hapo?
Nashukuru...lakini hao wapinzani huwa hawasemi 'katiba ya Warioba' husema 'katiba iliyopendekezwa na tume ya Warioba', sasa ndugu Muuza Kangala...amemnukuu Mzee Wassira akisema 'hakuna katiba ya Warioba' ni mzee yuko sahihi kama kuna mtu anasema kuna katiba ya WariobaKinadharia uko sahihi lakini kwa kuwa kuna katiba nyingi zilipendekezwa huko nyuma sasa ili kuitofautisha na zilizo pendekezwa awali inaitwa katiba ya Warioba kupunguza maswali ya ni katiba gani inayojadiliwa!
Pia nadhani nyingine ni katiba ya Jaji Kisanga.
Mkuu nimejibu hili swali , ukaniita mimi boya... sasa waniuliza tena ili unitukane tena?Nani alishasema katiba ni mali ya warioba.