Medicine of all disease mazafantaWeed for life
Kwahiyo unataka kusema Kanye soon atadanja nayeye?Kanye is in that condition simply bse he has exposed the illuminat, ref 19nov event last speech, having performed only two songs n switched to disposable truth ever told by the late allegedly illuminated artist who are no longer with us today like Mj,
Rapper Wiz Khalifa amegeuka daktari kwa
kumshauri Kanye West akitaka apone kuna dawa
rahisi anatakiwa aitumie. Akiongea na mtandao wa TMZ Jumatatu hii,
hitmaker huyo wa See You Again amemwambia
Kanye anatakiwa avute bangi ili siku yake iwe
nzuri.
“He need to smoke some weed. Smoke some KK.
Make your day-day all better. I’ma send him some
to the mental institution,” amesema Wiz.
West
amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya akili kwa
muda sasa hali iliyompelekea kupelekwa hospitali
ya mjini Los Angeles wiki iliyopita.
Mafanikio yako unadhani unaweza kumpita wiz khalifa? Ambaye unasema akili zake ameziunguza kwa bangiSasa kwa akili yako Wiz Khalifa ni mtu wa kumsikiliza kweli? Mwangalie alivyo, jamaa kaunguza akili zake zote kwa ganja na is stupid by choice, eti leo hii ndiyo aje kuwa mshauri? Dude is stupid beyond recognition, anatauta tu kick.
Mafanikio yako unadhani unaweza kumpita wiz khalifa? Ambaye unasema akili zake ameziunguza kwa bangi
Japo situmii, lakini nauzimia sana mjani.Medicine of all disease mazafanta
Sio rahisi, currently they are reprogramming him, kwa hiyo nadhani wanamfunga mdomo kwa namna wanavyojua wao... Na atakaporejea atakaa kimya na hiyo ndo chance itakayomweka hai, otherwise wanaeza mtengenezea tukio na ukaskia amekufa kwa sababu ya drug addiction with excessive dossage.... Hawakawii kumwundia zengwe. History inaonesha wengi waliofichua live au hata kwa imagery hawakuishi mda mrefu, aaliyah, ashanti, pac na hata Steve JobsKwahiyo unataka kusema Kanye soon atadanja nayeye?