Wizara haikupeleka mashuleni Kompyuta 2,213 zenye thamani ya Kshs. mil. 153.8 zilizotolewa na Rais Kenyatta

Wizara haikupeleka mashuleni Kompyuta 2,213 zenye thamani ya Kshs. mil. 153.8 zilizotolewa na Rais Kenyatta

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
KENYA: Waziri wa Elimu, Amina Mohammed amejikuta katika kashfa ya rushwa inayohusisha kompyuta ambazo Rais Uhuru Kenyatta alinunua kwa shule za sekondari

Kulingana na ripoti ya ukaguzi, Wizara iliyoongozwa na Amina Mohammed ilinunua kompyuta 3,320 kwa shule za sekondari lakini iliweza kutoa kompyuta 1,107 tu

Mkaguzi huyo alisema kuwa kompyuta zilizopotea zilikuwa na thamani ya shilingi milioni 153 za Kikenya sawa na zaidi ya bilioni 3.43 za Kitanzania

Wizara hiyo pia ilionekana kuwa imetumia shillingi milioni 1 za Kikenya kwa safari licha ya ugawaji wa Shilingi 440, 000 za Kikenya.


=====

Education Cabinet Secretary, Amina Mohammed, has found herself in a corruption scandal involving computers that President Uhuru Kenyatta bought for secondary schools.

According to a new report by Auditor General Edward Ouko, the Ministry is unable to account for 2,000 computers that were supposed to be delivered to various public secondary schools.

According to audit report, Amina Mohammed-led Ministry procured 3,320 computers for secondary schools but only managed to deliver 1, 107 computers.

The Auditor said the missing computers were worth a whopping sh153 million.

“The list of serialized computers made available for audit review reflected 1, 107 computers only,”

“resulting in a variance of 2,213 computers worth sh153.8 million, which had not been accounted for at the time of this report,” the audit report reads.

The Ministry was also found to have embezzled sh1 million on trips despite the allocation of sh 440, 000.

Source: kenyan-post.com
 
Itakuwa amefungua duka la ma-laptop somewhere si mchezo.,
 
Msomali huyo si unawaona kkoo wao ndo wauza computer maarufu Uhuru strt
 
Back
Top Bottom