Wizara haziko makini kuchapisha ripoti

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2008
Posts
3,007
Reaction score
2,451
Nimesoma magazeti matatu jana,Daily News,Nipashe na Mwananchi. Kulikuwa na taarifa kwamba Waziri fulani alitoa makadirio ya fedha ya wizara yake,lakini hotuba kamili haikuwepo katika gazeti lolote.
Wabunge wanaweza vipi kuongea Dodoma bila kuwashirikisha waandishi wa habari?kwa radio,TV na magazeti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…