Wizara/Shirika/Taasisi gani ya serikali ina huduma bora kwa wateja mpaka unatamani taasisi zote zingekuwa kama wao?

Wizara/Shirika/Taasisi gani ya serikali ina huduma bora kwa wateja mpaka unatamani taasisi zote zingekuwa kama wao?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu weekend inaendaje?

Huduma kwa wateja upande wa serikali imekuwa mwiba mchungu, kila kona malalamiko tu ya watoa huduma taasisi hizo kutoridhisha na matarajio ya wateja.

Tukiachana na malalamiko hayo, ni taasisi gani upande wa serikali inafanya vizuri upande wa huduma kwa wateja, yaani ukifikwa unasikilizwa fqsta na tatizo lako kupatiwa ufumbuzi, hakuna longo longo za sistim iz dauni wala nini, ukifika (ukipiga simu) watoa huduma wanakupokea kwa bashasha mpaka unaona nusu ya tatizo lako lishapata ufumbuzi, yaani unapewa huduma bora mpaka unatamani taasisi zote za serikali ingekuwa kama wao?!

Embu itaje hapa taasisi nyinginr zione haya na kuboresha huduma zao kuwa top notch👌✨️✨️
 
Serikali hata ukikuta vijana ni kama wamezeeka.Na wanaona kawaida tu, kwa taasisi yenye afadhali tuipe NIC INSURANCE
 
NSSF kijitonyama, wakati wa kuomba uanachama. Unapewa namba ndani ya dk 5.
Pia hospitali ya mirembe ukipeleka mgonjwa wa akili, wanampa huduma right away kwa kumlaza na kupatiwa dawa zao
 
NHIF, NMB , Vituo vya polisi, Hospital ya Rufaa na Kanda mkoa wa mbeya, Mwananyamala Hospital, Ikulu ya Dodoma na Tamisemi!
Mungu anawaona.
Hapa Mkuu ndio umerusha jiwa angani atakayetoa kichwa limpate au?😹😹😹 Sentensi yako ya mwisho haijaisha
 
Wakuu weekend inaendaje?

Huduma kwa wateja upande wa serikali imekuwa mwiba mchungu, kila kona malalamiko tu ya watoa huduma taasisi hizo kutoridhisha na matarajio ya wateja.

Tukiachana na malalamiko hayo, ni taasisi gani upande wa serikali inafanya vizuri upande wa huduma kwa wateja, yaani ukifikwa unasikilizwa fqsta na tatizo lako kupatiwa ufumbuzi, hakuna longo longo za sistim iz dauni wala nini, ukifika (ukipiga simu) watoa huduma wanakupokea kwa bashasha mpaka unaona nusu ya tatizo lako lishapata ufumbuzi, yaani unapewa huduma bora mpaka unatamani taasisi zote za serikali ingekuwa kama wao?!

Embu itaje hapa taasisi nyinginr zione haya na kuboresha huduma zao kuwa top notch👌✨️✨️
Falcon bus service
 
Back
Top Bottom