Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu weekend inaendaje?
Huduma kwa wateja upande wa serikali imekuwa mwiba mchungu, kila kona malalamiko tu ya watoa huduma taasisi hizo kutoridhisha na matarajio ya wateja.
Tukiachana na malalamiko hayo, ni taasisi gani upande wa serikali inafanya vizuri upande wa huduma kwa wateja, yaani ukifikwa unasikilizwa fqsta na tatizo lako kupatiwa ufumbuzi, hakuna longo longo za sistim iz dauni wala nini, ukifika (ukipiga simu) watoa huduma wanakupokea kwa bashasha mpaka unaona nusu ya tatizo lako lishapata ufumbuzi, yaani unapewa huduma bora mpaka unatamani taasisi zote za serikali ingekuwa kama wao?!
Embu itaje hapa taasisi nyinginr zione haya na kuboresha huduma zao kuwa top notch👌✨️✨️
Huduma kwa wateja upande wa serikali imekuwa mwiba mchungu, kila kona malalamiko tu ya watoa huduma taasisi hizo kutoridhisha na matarajio ya wateja.
Tukiachana na malalamiko hayo, ni taasisi gani upande wa serikali inafanya vizuri upande wa huduma kwa wateja, yaani ukifikwa unasikilizwa fqsta na tatizo lako kupatiwa ufumbuzi, hakuna longo longo za sistim iz dauni wala nini, ukifika (ukipiga simu) watoa huduma wanakupokea kwa bashasha mpaka unaona nusu ya tatizo lako lishapata ufumbuzi, yaani unapewa huduma bora mpaka unatamani taasisi zote za serikali ingekuwa kama wao?!
Embu itaje hapa taasisi nyinginr zione haya na kuboresha huduma zao kuwa top notch👌✨️✨️