Wizara ya afya haioni athari hii ya mifuko ya plastiki kupikia chakula?

Wizara ya afya haioni athari hii ya mifuko ya plastiki kupikia chakula?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika haioni hili?
 
Pana utafiti uliisha fanywa kuwa kutumia mifuko ya plastiki kufunikia wakati wa kupika ni hatari kwa afya. Lakini hapa Dar mama lishe wengi wanaitumia katika kupikia vyakula. Hivi mamlaka husika haioni hili?
Epuka kula vyakula kwa mama lishe wasiofuata kanuni za afya
 
Back
Top Bottom