Sospetergideon
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 300
- 16
Jaman niliomba diploma za medical lab sciences,pharmacy,na enviroment health science.nme2mia chet cha form 4 na 6 .ambapo form 4 nna physcs-C,chem-C na Bio-C.Na kwa form 6 nna Physcs-f,chem-E na Bio-E..Hivi kweli muhimbili watanichukua?
Mwakajana nili apply tcu kwa tokeo la div 3-14 ila nikatemwa pale st.francis course ya md then wakanichagua bsc.physc udom ila intention yang ni kusoma course za afya mwaka huu nikaamua ku apply wizara ya afya course ya clinical officer kwa tokeo la 4m 4 nina bio-b,phy-b,chem-a,math-a na eng-d vp naweza kabiliana na hiyo competion?
Mwakajana nili apply tcu kwa tokeo la div 3-14 ila nikatemwa pale st.francis course ya md then wakanichagua bsc.physc udom ila intention yang ni kusoma course za afya mwaka huu nikaamua ku apply wizara ya afya course ya clinical officer kwa tokeo la 4m 4 nina bio-b,phy-b,chem-a,math-a na eng-d vp naweza kabiliana na hiyo competion?
Goverment.ubaya kwa moh nliomba diploma ya dental therapy kwa chet cha form 4.ndo maana moh ckutumainii xaana!kwan navyojua mm competition yao kubwa.
Mmmh, bhana eeeh!! Me naona likitoka hilo ndo linafuata la waliochaguliwa, hiv na vipi kuhusu kilimo, wametoa?