Wizara ya AFYA kimya sana mbona?

Wizara ya AFYA kimya sana mbona?

sakimbo

Member
Joined
Apr 1, 2015
Posts
10
Reaction score
1
Habar zenu humu ndani, hivi wanafunzi wote waliosomea course za AFYA miliomaliza mwaka jana mmeshaenda intern? Maana kuna ambao tuko kitàa hadi sasa na hatujui hatima yetu, naomba taarifa tafadhali
 
Back
Top Bottom