Wizara ya Afya kwa nini msikifufue chuo cha uuguzi cha Tunduru ?

Solar pro

Member
Joined
Jan 30, 2021
Posts
56
Reaction score
190
Chuo kilikuwepo zamani kabla ya Kuunguliwa na moto ,Tangu kiungue na moto chuo basi ndo ikawa mwisho ya kuchukuwa wanafunzi na wanafunzi wengine wakahama kabisa sasa kwanini wasikifufue ili kuongeza wataalamu wa afya ?
 
Kwanini usishauli wakifanyie marekebidho badala ya kukifunga...
 
Tunduru napo Wanaishi watu we sehemu ukienda safari zako kulala shida sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…