Taarifa nilizozipata masaa machache ni kwamba,
Matokeo ya waloomba wizara ya afya yanabandikwa katika kanda uliyo ombea.
Kuna mshkaji wa Kigoma amesema tayari Katika mkoa wa Kigoma matokeo yamebandikwa wizarani.
NGOJA TUSUBIRI NA SISI WA MIKOA MINGINE!