Jana nimeenda hospital ya Tumbi kumpeleka ndugu yangu ambaye hayuko kwenye mfumo wa bima, baada ya kufungua faili kama taratibu mgonjwa wangu alitakiwa kuingia kwa Dr, nililipa gharama za yeye kuonana na Dr, shida ilianza pale alipohitaji kufanya vipimo ndipo nilipotakiwa kwenda kununua gloves kwa madai kuwa hospitali haina gloves.
Nimerudi na gloves naambiwa kipimo cha sukari hamna nikaelekezwa dispensary ya kwenda kufanya kipimo alafu nilurudishe majibu ikabidi niende.
Nimerudisha majibu Dr kamwandikia ndg yangu dawa, naenda phamarcy dawa zote nilizoandikiwa hakuna hata moja. Kifupi zaidi ya Dr hakuna kitu kingine nilichokipata Tumbi.
Hospital nika inakusanya tu hela ya registration na consultation fee.
Sijui kama hii imetokea bahati mbaya tu kwangu au ndivo ilivo na kama ndivyo ilivyo na hii ni hospitali ya hadhi ya Rufaa basi wizara ya afya na serikali kwa ujumla waliangalie.
Waziri afya mama Dr Gwajima pitia Tumbi, Dr Molel pitia Tumbi usiishie tu Mount Meru, Huruma nk. Njoo Tumbi tafadhari
Nimerudi na gloves naambiwa kipimo cha sukari hamna nikaelekezwa dispensary ya kwenda kufanya kipimo alafu nilurudishe majibu ikabidi niende.
Nimerudisha majibu Dr kamwandikia ndg yangu dawa, naenda phamarcy dawa zote nilizoandikiwa hakuna hata moja. Kifupi zaidi ya Dr hakuna kitu kingine nilichokipata Tumbi.
Hospital nika inakusanya tu hela ya registration na consultation fee.
Sijui kama hii imetokea bahati mbaya tu kwangu au ndivo ilivo na kama ndivyo ilivyo na hii ni hospitali ya hadhi ya Rufaa basi wizara ya afya na serikali kwa ujumla waliangalie.
Waziri afya mama Dr Gwajima pitia Tumbi, Dr Molel pitia Tumbi usiishie tu Mount Meru, Huruma nk. Njoo Tumbi tafadhari