JAMANI NDUGU ZANGU NAOMBA SAMAHANI KWA POST YANGU ILIKUWA INAWAAMBIA BADO SIKU 3 WIZARA YA AFYA. Kwa kweli hzi data nilizipata walipotuma ratiba ya moja kwa moja Chuoni kwangu kwamba watatangaza kuanzia tar 5-10 mwezi huu. Lakini wameonekana waongo kwa kutofanya hvo na mimi kuiamin kwa kweli samahani. Hata mimi kwa hili Nimeudhika. Asanteni.