Wizara ya Afya Tanzania yahimiza wananchi kuendelea na tabia ya unawaji mikono katika maeneo mbalimbali

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535

Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa wito kwa wananchi kuendeleza tabia ya unawaji mikono katika maeneo mbalimbali ya shughuli ili kupunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya kuambukiza kama kipindupindu, kuhara damu na minyoo.

Wito huo umetolewa na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Abel Makubi.

Source: https://twitter.com/wizara_afyatz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…