kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,677
Tumethubutu, Tumeweza, Tunazidi Kusonga Mbele
huduma sahihi kwa jamii ndiyo lengo letu
Wizara ya Afya na Ustawi Jamii
...ndiyo kibwagizo (SLOGAN) inayokukaribisha kwenye lango kuu la Hospitali zetu za serikali.
...Kwakweli inasikitisha sana nilichokiona hospitali ya Amana je hii ni haki kuwalaza wagonjwa wawiliwawili kwenye kitanda kimoja, tena bahati mbaya zaidi wengi wao wana magonjwa ya kuambukizana kwa hewa na ya ngozi.
Kwenye wodi #3 vitanda vyote vilikuwa na watu (wagonjwa) wawili wawili waliolala pamoja utafikiri ni wanandoa wenye mgogoro au waliochokana.
...yawezekana kabisa viongozi wa serikali hawatembelei hizi Hospitali !
Labda ni Hospitali ya Amana tu! Naomba kama kuna wadau wanaofahamu hospitali nyingine za Serikali zenye unafuu watujuze tafadhari... ili nimhamishe mgonjwa wangu.
.....Asanteni
huduma sahihi kwa jamii ndiyo lengo letu
Wizara ya Afya na Ustawi Jamii
...ndiyo kibwagizo (SLOGAN) inayokukaribisha kwenye lango kuu la Hospitali zetu za serikali.
...Kwakweli inasikitisha sana nilichokiona hospitali ya Amana je hii ni haki kuwalaza wagonjwa wawiliwawili kwenye kitanda kimoja, tena bahati mbaya zaidi wengi wao wana magonjwa ya kuambukizana kwa hewa na ya ngozi.
Kwenye wodi #3 vitanda vyote vilikuwa na watu (wagonjwa) wawili wawili waliolala pamoja utafikiri ni wanandoa wenye mgogoro au waliochokana.
...yawezekana kabisa viongozi wa serikali hawatembelei hizi Hospitali !
Labda ni Hospitali ya Amana tu! Naomba kama kuna wadau wanaofahamu hospitali nyingine za Serikali zenye unafuu watujuze tafadhari... ili nimhamishe mgonjwa wangu.
.....Asanteni