Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
DKT. MOLLEL: HATULAZIMISHI MTU LAKINI TUNATAMANI WOTE WAWEZE KUCHANJWA
Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema hawalazimishi mtu kupata chanjo ya #COVID-19 lakini wanatamani kila mmoja aweze kuchanjwa.
Amesema ili nchi iwe salama ni lazima 60% ya watu wawe wamepata chanjo.
Hadi sasa wamepata maombi kutoka taasisi nyingi nchini wakiomba chanjo jambo linalofanya chanjo zilizopo kutotosha.
Ameyasema hayo katika kipindi cha Clouds 360.
Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema hawalazimishi mtu kupata chanjo ya #COVID-19 lakini wanatamani kila mmoja aweze kuchanjwa.
Amesema ili nchi iwe salama ni lazima 60% ya watu wawe wamepata chanjo.
Hadi sasa wamepata maombi kutoka taasisi nyingi nchini wakiomba chanjo jambo linalofanya chanjo zilizopo kutotosha.
Ameyasema hayo katika kipindi cha Clouds 360.