#COVID19 Wizara ya Afya: Tunatamani watu wote wapate chanjo ya COVID-19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
DKT. MOLLEL: HATULAZIMISHI MTU LAKINI TUNATAMANI WOTE WAWEZE KUCHANJWA

Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema hawalazimishi mtu kupata chanjo ya #COVID-19 lakini wanatamani kila mmoja aweze kuchanjwa.

Amesema ili nchi iwe salama ni lazima 60% ya watu wawe wamepata chanjo.

Hadi sasa wamepata maombi kutoka taasisi nyingi nchini wakiomba chanjo jambo linalofanya chanjo zilizopo kutotosha.

Ameyasema hayo katika kipindi cha Clouds 360.
 
Kutotosha? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ , chanjo ya majaribio?!
 
Acheni tamaa tena wewe moleli si ndio ulikuwa unaongoza mapambano dhidi ya mabeberu na mbinu zao za kukabiliana na covidi ?πŸ€£πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…