Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hahaaa.
Hahah Mkuu Mimi nna Chup moja tuKama vipi mkuu we vaa chupi kichwani
Tena afadhari wachina ilitakiwa iwatwange wahindi waache ubaguzi wao wa kiboyaHahaaa.
Hawa jamaa hawaamini Kama gonjwa limeanzia kwao. Wanatamani lingeanzia
Walikubagua nini hao wahindi? tujuze mkuu.Tena afadhari wachina ilitakiwa iwatwange wahindi waache ubaguzi wao wa kiboya
Niliona picha moja Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan akiongea na Balozi wa China nchini humo akiwa kavaa vifaa hivyo vya kujikinga na Corona virus! Sijui huyo Balozi alijisikiaje.Hahaaa.
Hawa jamaa hawaamini Kama gonjwa limeanzia kwao. Wanatamani lingeanzia Africa
Wabaguzi kwenye kutoa papuchi kwa mabaharia wa kiafrikaWalikubagua nini hao wahindi? tujuze mkuu.
Swali zuri sana hili,wenye kujua jibu ni muhimu hapa.Hivi vi mask ni special au hata vile wanavyovaa wakandarasi vinafaa...?
Hahahaa! Sasa wewe kwanini ukawafuata mademu wa kihindi ukawacha waafrika wenzako? huoni kua hapo hata na wewe unaweza kuonekana kua uliwabagua mabinti wa kibantu?Wabaguzi kwenye kutoa papuchi
π π π πKwa hiyo ukiandika kwa Kiingereza ndo umuhimu unaongezeka?
Kwa hiyo ukiandika kwa Kiingereza ndo umuhimu unaongezeka?
Pengine ailitaka binti yao wakamnyima!Walikubagua nini hao wahindi? tujuze mkuu.
Niliona picha moja Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan akiongea na Balozi wa China nchini humo akiwa kavaa vifaa hivyo vya kujikinga na Corona virus! Sijui huyo Balozi alijisikiaje.