Wizara ya afya watalaamu wenu wapo wapi? Tunahitaji taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Covid-19

Wizara ya afya watalaamu wenu wapo wapi? Tunahitaji taarifa sahihi juu ya ugonjwa wa Covid-19

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya.

Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni wazi kabisa WHO walitoa tamko kuwa mask ambazo zinaweza kuzuia huu ugonjwa ni mask aina ya N95 na Surgical mask.

Lakini sababu ya upungufu wakasema hata cloth mask zitumike japokuwa hawana uhakika kama zinazuia. Ila wakasisitiza Cloth mask atleast iwe na kitambaa kizito au wakati wa kushona ikunjwe mara mbili.

Mimi sijaona watalaamu wetu wakija kufafanua juu ya hili. Na mitaani kuna mask ambazo zinauzwa 500 au 1000 lakini unakuta kitambaa ni laini kabisa.

Pili ni wakati gani mask ivaliwe na eneo gani? Je kwa watoto na watu wazima wenye ugonjwa wa Athma? Wavae mask? Sijaona elimu yoyote juu ya hili.

Jambo lingine ni kuhusu taarifa na takwimu. Watu wanasema hali ni mbaya sana. Watu wanakufa kama upupu. Wizara ya afya haiweki uwazi kuwa kama ni kweli au vipi.

Pia ilitakiwa kitaalamu tuambiwe tuko katika stage gani? Maambukizi yanaingia? Yanasambaa? Yanapungua? Uzuri naibu waziri ni Daktari hivi anakosa hata muda wa nusu saa kuwa anafafanua haya mambo kwenye Tv?

Maana huku mitaani watu ni hofu tu. Tunaambiwa loaders na malori yanaenda kuzika watu kila siku. Kwa hiyo tunataka taarifa ambazo ni rasmi toka kwa vyombo husika.
 
Tanzania hatuna wataalamu kwa sababu wanasubiri muongozo kutoka kwa WHO. Maish yangu yote sikuwahi kujua kama Tanzania hatuna wataalamu bali tuna wababaishaji.
 
Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya.

Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni wazi kabisa WHO walitoa tamko kuwa mask ambazo zinaweza kuzuia huu ugonjwa ni mask aina ya N95 na Surgical mask.

Lakini sababu ya upungufu wakasema hata cloth mask zitumike japokuwa hawana uhakika kama zinazuia. Ila wakasisitiza Cloth mask atleast iwe na kitambaa kizito au wakati wa kushona ikunjwe mara mbili.

Mimi sijaona watalaamu wetu wakija kufafanua juu ya hili. Na mitaani kuna mask ambazo zinauzwa 500 au 1000 lakini unakuta kitambaa ni laini kabisa.

Pili ni wakati gani mask ivaliwe na eneo gani? Je kwa watoto na watu wazima wenye ugonjwa wa Athma? Wavae mask? Sijaona elimu yoyote juu ya hili.

Jambo lingine ni kuhusu taarifa na takwimu. Watu wanasema hali ni mbaya sana. Watu wanakufa kama upupu. Wizara ya afya haiweki uwazi kuwa kama ni kweli au vipi.

Pia ilitakiwa kitaalamu tuambiwe tuko katika stage gani? Maambukizi yanaingia? Yanasambaa? Yanapungua? Uzuri naibu waziri ni Daktari hivi anakosa hata muda wa nusu saa kuwa anafafanua haya mambo kwenye Tv?

Maana huku mitaani watu ni hofu tu. Tunaambiwa loaders na malori yanaenda kuzika watu kila siku. Kwa hiyo tunataka taarifa ambazo ni rasmi toka kwa vyombo husika.

Na kwa kuongezea tu, hizi mask zinazoshonwa mitaani na mafundi nguo, kila mteja anaeenda kununua anajaribisha kwanza kuona kama itamkaa vizuri. Kwahiyo anavaa hii akiona haijampendeza anarudisha anavaa nyingine nk. Hii ni HATARI maana akitokea mteja mmoja mwenye maambukizi ndio basi tena..! Sidhani kama watu wana elimu kuhusu namna huu ugonjwa unavyoweza kuenea..?
 
Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya.

Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni wazi kabisa WHO walitoa tamko kuwa mask ambazo zinaweza kuzuia huu ugonjwa ni mask aina ya N95 na Surgical mask.

Lakini sababu ya upungufu wakasema hata cloth mask zitumike japokuwa hawana uhakika kama zinazuia. Ila wakasisitiza Cloth mask atleast iwe na kitambaa kizito au wakati wa kushona ikunjwe mara mbili.

Mimi sijaona watalaamu wetu wakija kufafanua juu ya hili. Na mitaani kuna mask ambazo zinauzwa 500 au 1000 lakini unakuta kitambaa ni laini kabisa.

Pili ni wakati gani mask ivaliwe na eneo gani? Je kwa watoto na watu wazima wenye ugonjwa wa Athma? Wavae mask? Sijaona elimu yoyote juu ya hili.

Jambo lingine ni kuhusu taarifa na takwimu. Watu wanasema hali ni mbaya sana. Watu wanakufa kama upupu. Wizara ya afya haiweki uwazi kuwa kama ni kweli au vipi.

Pia ilitakiwa kitaalamu tuambiwe tuko katika stage gani? Maambukizi yanaingia? Yanasambaa? Yanapungua? Uzuri naibu waziri ni Daktari hivi anakosa hata muda wa nusu saa kuwa anafafanua haya mambo kwenye Tv?

Maana huku mitaani watu ni hofu tu. Tunaambiwa loaders na malori yanaenda kuzika watu kila siku. Kwa hiyo tunataka taarifa ambazo ni rasmi toka kwa vyombo husika.
Asante kwa kuanza kujitambua Ramadan Kareem!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeshuhudia kabisa kijana amekufa baada ya kuonyesha dalili za covid 19 huku na ndugu wamejipiga karantini,sjui kama serikali inajua vifo hivyo,na mmoja wa familia amesema kijana alikuwa na sickle cell na afya yake ilikuwa sawa,ila baada ya kuambukizwa covid 19 hali ikawa tete na alikuwa anashindia vijiwe vya pool asubhi mpka usiku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu sasa hivi amechanganyikiwa, watu wanaishi kwa hofu maana elimu au taarifa kuhusu huu ugonjwa zinachanganya.

Mimi binafsi nilitarajia kuwa hata kila baada ya saa moja anakuja mtaalamu wa wizara ya afya na kutoa elimu juu ya huu ugonjwa kwenye Tv. Mfano mmoja tu ni kwenye kuvaa mask ni wazi kabisa WHO walitoa tamko kuwa mask ambazo zinaweza kuzuia huu ugonjwa ni mask aina ya N95 na Surgical mask.

Lakini sababu ya upungufu wakasema hata cloth mask zitumike japokuwa hawana uhakika kama zinazuia. Ila wakasisitiza Cloth mask atleast iwe na kitambaa kizito au wakati wa kushona ikunjwe mara mbili.

Mimi sijaona watalaamu wetu wakija kufafanua juu ya hili. Na mitaani kuna mask ambazo zinauzwa 500 au 1000 lakini unakuta kitambaa ni laini kabisa.

Pili ni wakati gani mask ivaliwe na eneo gani? Je kwa watoto na watu wazima wenye ugonjwa wa Athma? Wavae mask? Sijaona elimu yoyote juu ya hili.

Jambo lingine ni kuhusu taarifa na takwimu. Watu wanasema hali ni mbaya sana. Watu wanakufa kama upupu. Wizara ya afya haiweki uwazi kuwa kama ni kweli au vipi.

Pia ilitakiwa kitaalamu tuambiwe tuko katika stage gani? Maambukizi yanaingia? Yanasambaa? Yanapungua? Uzuri naibu waziri ni Daktari hivi anakosa hata muda wa nusu saa kuwa anafafanua haya mambo kwenye Tv?

Maana huku mitaani watu ni hofu tu. Tunaambiwa loaders na malori yanaenda kuzika watu kila siku. Kwa hiyo tunataka taarifa ambazo ni rasmi toka kwa vyombo husika.
Sasa hivi wanashonesha barakoa kwa kutumia mifuko mbadala aisee wabongo hatujui tunafanya nini.
 
Punda afe mzigo ufike, sema nasikia wadudu wameisogelea himaya, hawataki mchezo🙏
 
Back
Top Bottom