#COVID19 Wizara ya Afya; Watu 8 wafariki kwa COVID-19 ndani ya mwezi mmoja

#COVID19 Wizara ya Afya; Watu 8 wafariki kwa COVID-19 ndani ya mwezi mmoja

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wizara ya Afya imetangaza kwa kipindi cha kuanzia Februari 5 hadi Machi 4 kumekuwa na visa vipya 290, ambapo 136 walilazwa ambapo 128 kati ya waliolazwa hawakuwa wamepata chanjo.

Wizara imetangaza vifo vya watu 8 ambao wote hawakuwa wamepata chanjo. Huku watu 4 wakiwa mahututi

Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata dozi kamili ya kujikinga na virusi vya corona
1646678632201.png
 
ambapo 136 walilazwa ambapo 128 kati ya waliolazwa hawakuwa wamepata chanjo.

Wizara imetangaza vifo vya watu 8 ambao wote hawakuwa wamepata chanjo. Huku watu 4 wakiwa mahututi

Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata dozi kamili ya kujikinga na virusi vya corona
Tuhamasishane kuvaa masks
 
N
Wizara ya Afya imetangaza kwa kipindi cha kuanzia Februari 5 hadi Machi 4 kumekuwa na visa vipya 290, ambapo 136 walilazwa ambapo 128 kati ya waliolazwa hawakuwa wamepata chanjo.

Wizara imetangaza vifo vya watu 8 ambao wote hawakuwa wamepata chanjo. Huku watu 4 wakiwa mahututi

Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata dozi kamili ya kujikinga na virusi vya corona
View attachment 2142519
Mbona nimesikia braza Vladimir ameitokomeza Corona?
 
haya mambo tulishasahau sasa hivi toeni tamko vita vya Russia na Ukraine acheni kutuletea mambo ya zama za kale tulishahama huko
 
Wameanza tena😁 watu tulishasahau Habari hizi jicho la Dunia liko Bize kufuatilia mtifuano wa Russia na Ukraine
 
Tulishachukua pesa ya COVID 19 kwahiyo tunalipa kidogo kidogo kwa kutoa takwimu namna hii. Tusipotoa takwimu tunaweza kuingia matatizoni yaani Ni sawa na kuchukua michango ya ndoa na kufungulia biashara.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu hivi tusingechukua pesa wananchi wasingepaswa kujilishwa kuhusu corona? Mbona takwimu za magonjwa mengine huwa tunapewa?
 
Mkuu hivi tusingechukua pesa wananchi wasingepaswa kujilishwa kuhusu corona? Mbona takwimu za magonjwa mengine huwa tunapewa?
Hizo takwimu za magonjwa mengine kwa kila mwezi ziko wapi?
 
Back
Top Bottom