Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Tuhamasishane kuvaa masksambapo 136 walilazwa ambapo 128 kati ya waliolazwa hawakuwa wamepata chanjo.
Wizara imetangaza vifo vya watu 8 ambao wote hawakuwa wamepata chanjo. Huku watu 4 wakiwa mahututi
Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata dozi kamili ya kujikinga na virusi vya corona
Mbona nimesikia braza Vladimir ameitokomeza Corona?Wizara ya Afya imetangaza kwa kipindi cha kuanzia Februari 5 hadi Machi 4 kumekuwa na visa vipya 290, ambapo 136 walilazwa ambapo 128 kati ya waliolazwa hawakuwa wamepata chanjo.
Wizara imetangaza vifo vya watu 8 ambao wote hawakuwa wamepata chanjo. Huku watu 4 wakiwa mahututi
Serikali imesema hadi sasa watu 2,664,373 wamepata dozi kamili ya kujikinga na virusi vya corona
View attachment 2142519
Mkuu hivi tusingechukua pesa wananchi wasingepaswa kujilishwa kuhusu corona? Mbona takwimu za magonjwa mengine huwa tunapewa?Tulishachukua pesa ya COVID 19 kwahiyo tunalipa kidogo kidogo kwa kutoa takwimu namna hii. Tusipotoa takwimu tunaweza kuingia matatizoni yaani Ni sawa na kuchukua michango ya ndoa na kufungulia biashara.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwakutumia utashi wako unafikiri Kuna Corona mpaka sasa nchi hii?Mkuu hivi tusingechukua pesa wananchi wasingepaswa kujilishwa kuhusu corona? Mbona takwimu za magonjwa mengine huwa tunapewa?
Hizo takwimu za magonjwa mengine kwa kila mwezi ziko wapi?Mkuu hivi tusingechukua pesa wananchi wasingepaswa kujilishwa kuhusu corona? Mbona takwimu za magonjwa mengine huwa tunapewa?
Sio lazima kila ugonjwa utolewe takwimu za mweziHizo takwimu za magonjwa mengine kwa kila mwezi ziko wapi?