JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Dkt. Furaha Kyesi ambaye ni Afisa Mpango wa Taifa wa Chanjo ametoa rai kwa wazazi kuendelea kuwapeleka watoto wao kupata chanjo huku akiwakumbusha kuchukua tahadhari dhidi ya COVID19
> Huduma za chanjo nchini hazijasitishwa. Bado zinaendelea kutolewa kulingana na ratiba za watoto walizopangiwa na kulingana na umri wao hata hivyo jambo la msingi ni kila mmoja kuhakikisha anajikinga na corona kila anapompeleka mtoto.
> Kila mmoja anapaswa kuvaa barakoa. Jikinge ili uwakinge na wengine kwa sababu hapa hakuna anayejua mwenzake ametoka wapi, amekutana na nani hadi amefika hapa kwenye Zahanati
> Wazazi na walezi wanahimizwa kuzingatia kuvaa barakoa kila wanapowapeleka watoto wao Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati kupatiwa huduma mbalimbali za kiafya ikiwamo zile za chanjo
> Huduma za chanjo nchini hazijasitishwa. Bado zinaendelea kutolewa kulingana na ratiba za watoto walizopangiwa na kulingana na umri wao hata hivyo jambo la msingi ni kila mmoja kuhakikisha anajikinga na corona kila anapompeleka mtoto.
> Kila mmoja anapaswa kuvaa barakoa. Jikinge ili uwakinge na wengine kwa sababu hapa hakuna anayejua mwenzake ametoka wapi, amekutana na nani hadi amefika hapa kwenye Zahanati
> Wazazi na walezi wanahimizwa kuzingatia kuvaa barakoa kila wanapowapeleka watoto wao Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati kupatiwa huduma mbalimbali za kiafya ikiwamo zile za chanjo
Upvote
0