Wizara ya Afya yatangaza visa vipya 147, jumla ya maambukizi yafikia 1,618

Wizara ya Afya yatangaza visa vipya 147, jumla ya maambukizi yafikia 1,618

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Waziri wa Afya ametangaza visa vipya 147 vilivyothibitika baada ya sampuli 2,831 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita.

Maambukizi mapya yamerekodiwa kutoka kaunti 11 ambapo Nairobi ina visa (90), Mombasa (41), Kiambu (3), Nyeri (2) na Uasin Gishu (2). Vingine vimetokea Kajiado, Kilifi, Embu, Homa Bay, Murang’a na Machakos.

87 kati ya wagonjwa waliotangazwa leo ni Wanaume huku 60 wakiwa Wanawake, na umri wao ni kati ya mwaka mmoja na miaka 87.

Pia, wagonjwa 13 wamepona na wengine watatu wamefariki dunia.Wagonjwa waliopona hadi sasa ni 421 huku vifo vilivyorekodiwa vikifikia 58.

=====

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday announced that the total number of COVID-19 infections in Kenya rose to 1,618 after 147 new cases were confirmed.

CS Kagwe, addressing the press during a tour of Kiambu County health facilities, said 2,831 samples were tested in the last 24 hours.

All 147 new cases are Kenyans between the ages of 1-87 years, with 87 of them being males and the remaining 60 are females.

The infections are spread across at least 11 counties with Nairobi leading by 90 cases, followed by Mombasa with 41 and Kiambu with 3 cases.

Nyeri and Uasin Gishu counties recorded 2 cases each while Kajiado, Kilifi, Embu, Homa Bay, Murang’a and Machakos counties also confirmed new infections.

Nairobi’s cases were recorded in Kibra (35), Lang’ata (15), Makadara (9), Westlands (8), Embakasi Central (6), Embakasi West (5), Kamukunji (2), Mathare (1) as well as other areas.

CS Kagwe also revealed that 13 more patients were discharged in the last 24 hours hence bringing the total number of recoveries to 421.

Three other patients however died – 1 in Thika, Kiambu County, and 2 in Mombasa – taking the tally of coronavirus deaths to 58.

CITIZEN TV
 
Kenya walisema wenye kupeleka Corona Kenya ni watanzania na wasomali, baada ya kudhibiti hiyo mipaka, mbona idadi inaongezeka Mara dufu kila siku?
 
Tanzania hakuna kabisa hiyo kitu, na jumapili iliyopita tulifanya " CORONA KICK OUT PARTY" kwa raha zetu.
 
Mkuu uwe unamalizia heading.... Siyo unaandika Kama gazeti la udaku..... Wizara ya afya ya wapi? Ungetaja tu.... Utafikiri Uko toilet
 
Hivi Tanzania ni kweli virusi vimepungua?, Au tunazugwa
 
Ambia Wakenya waache hofu, hofu ni zaidi ya Corona yenyewe. Yes Corona ipo but still life goes on.

Nmeacha kufuatilia takwimu za hii Corona duniani, maisha yamekua rahisi like never before.

Laiti kama tungekua tunapewa takwimu za watu wanaofariki kwa Malaria tungetembea na net mitaani.

Uhuru awaachie huru Wakenya wafanye maisha, Corona iko mpaka kwenye mapapai huku bongo na bado yanauzwa kariakoo.
 
Si vema Sana kushangilia Corona Kenya ilihali sisi Ni ndugu! Tanzania kinachpoponya watu Ni kuondoa HOFU!! Ila naamini hats sisi ugonjwa upo Ni Kia's gani wasemaji hawasemi

NOTE: TUCHUKUE TAHADHARI na wakenya Ni ndugu zetu usishangilie dunia hi ugonjwa waweza zuka popote
 
Unajua
Si vema Sana kushangilia Corona Kenya ilihali sisi Ni ndugu! Tanzania kinachpoponya watu Ni kuondoa HOFU!! Ila naamini hats sisi ugonjwa upo Ni Kia's gani wasemaji hawasemi

NOTE: TUCHUKUE TAHADHARI na wakenya Ni ndugu zetu usishangilie dunia hi ugonjwa waweza zuka popote
Unajua Tanzania na Kenya ni watani wa jadi!! Ila huu utani usivuke mpaka. Tuwaombee ndugu zetu wa Kenya. Sisi wote ni ndugu.
 
Back
Top Bottom