PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Zaidi ya walebanon 580 wamekufa Toka Jana Hadi Leo kwenye mashambulizi ya anga ya Israel pia zaidi ya watu 1,835 wamejeruhiwa.
Waziri wa afya wa Lebanon ametoa ripoti hii Leo asubuhi
Toka Jana kumekuwa na mwitikio mkubwa wa raia kuondoka kwenye maeneo Yao na kuelekea upande wa kaskazini..... Huu ni muda wa kuimaliza tofauti zao hawa watu maana kama vita hii itaendelea zaidi ya wiki 4 walebanon watakufa wengi Sana
Waziri wa afya wa Lebanon ametoa ripoti hii Leo asubuhi
Toka Jana kumekuwa na mwitikio mkubwa wa raia kuondoka kwenye maeneo Yao na kuelekea upande wa kaskazini..... Huu ni muda wa kuimaliza tofauti zao hawa watu maana kama vita hii itaendelea zaidi ya wiki 4 walebanon watakufa wengi Sana