Wizara ya afya

Arteta_21

Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
12
Reaction score
2
Habari zenu wana jf napenda kuuliza kuhusu form four walioomba vyuo vya afya kutumia matokeo ya mwanzo kabla ya uchakachuajia wanawezekana wakachaguliwa au ndo tusahau tu? Ushauri plz
 
Hii tanzania kaka,unafikili MOH wanajali we subiri tu utasikia mwenyewe watakavyoropoka ovyo.
 
Ndo imepita hiyo muheshimiwa subiri mwakani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…