Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam wadau wa maendeleo! Najua wizara ya ardhi mnafanya kazi kubwa sana tena sana, Hongereni sana;
Licha ya changamoto mbali mbali mnazopitia ila naomba wakuu wa idara basi angalieni utendaji wa kitengo cha kuchukua hati za kawaida.
Haiwezekani kwenye system hati inaonekana imetoka alafu haionekani ? Na hii kero zipo nyingi sana ila mimi nimesemea kwangu mimi tokea jumatatu wanasema haionekani, wakaniambia nije jumatano haionekani, leo ni ijumaa saa 13;35 na nimekuja tokea asubuhi bado haionekani. Jamani shida ni nini jamani wengine ni wanyonge na hatujui wapi kwa kupeleka malalamiko. Please kama kuna maboss na wakuu wa idara mnapitia uzi huu basi fatilieni jamani. Ahsante sana.
Licha ya changamoto mbali mbali mnazopitia ila naomba wakuu wa idara basi angalieni utendaji wa kitengo cha kuchukua hati za kawaida.
Haiwezekani kwenye system hati inaonekana imetoka alafu haionekani ? Na hii kero zipo nyingi sana ila mimi nimesemea kwangu mimi tokea jumatatu wanasema haionekani, wakaniambia nije jumatano haionekani, leo ni ijumaa saa 13;35 na nimekuja tokea asubuhi bado haionekani. Jamani shida ni nini jamani wengine ni wanyonge na hatujui wapi kwa kupeleka malalamiko. Please kama kuna maboss na wakuu wa idara mnapitia uzi huu basi fatilieni jamani. Ahsante sana.