Wizara ya Ardhi ina matatizo makubwa ya utendaji wa Maafisa wa ardhi wa Wilaya na Mikoa. Waziri yuko wapi?

Wizara ya Ardhi ina matatizo makubwa ya utendaji wa Maafisa wa ardhi wa Wilaya na Mikoa. Waziri yuko wapi?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Hii ni wizara nyeti na yenye matatizo makubwa ya utendaji wa maafisa wa ardhi wa wilaya na mikoa. Kidogo Lukuvi aliwafuatilia kwa karibu na kuchukua hatua ilipobidi.

Leo Waziri Mabula naona ni kama vile wizara haina Waziri.

Wanatamba kuwa tulisema ataondoka Lukuvi atatuacha, na huyu tena mama atatuacha.

Waziri Mabula jitokeze, kwako kuna matatizo ya hao maafisa ardhi wateule na matatizo lukuki.

Njoo Muheza, kutana na wananchi wa kata ya Mlingano, kuna maajabu yanafanyika hapo na ardhi ya mashamba waliyopewa na Magufuli
 
Sasa akija Muheza sisi wa Bagamoyo atatuachaje? Tuko bize naye huku tunatatua migogoro ya ardhi
 
Kuna maajabu yanafanyika hapo na ardhi ya mashamba wwliyopewa na Magufuli
Ukitaja Magufuli umeharibu huo mnazi hautanyweka, yupo dogo amewekwa strategically kum suppress Mabula na yeye anajua kinachoendelea
 
Ukitaja Magufuli umeharibu huo mnazi hautanyweka, yupo dogo amewekwa strategically kum suppress Mabula na yeye anajua kinachoendelea
Ongezea Na Boha,Mnazi Havitanyweka
 
Ukitaja Magufuli umeharibu huo mnazi hautanyweka, yupo dogo amewekwa strategically kum suppress Mabula na yeye anajua kinachoendelea
Sasa hii ni habari mpya. Naibu atam suppress bosi kweli? Hata kama ni nguvu ya baba yake, lkn vingine ni vigumu, làbda kwa vile hapa ni kwa manyani!
 
Ongezea Na Boha,Mnazi Havitanyweka
Wewe unatoka Shebomeza Muheza ndiko kwenye Boha la nguvu katika Tao la Milima ya Mashariki[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mkuu, muheza wanafanywa nini?
Magufuli alisema waliokuwa kwenye mashamba tangu enzi hizo wapewe bure maeneo Yao na hati wapatiwe .

Leo Kuna kampuni inaitwa makazi solutions inawakata viwanja kuwa 40% Ni vyako na 60% Ni vya serikali au ulipie.

Mashamba eti unalipia laki 3 kwa Kika eka zinazozidi 2.5.

Watu wanapiga hela tu!
 
Leta changamoto/habari ikiwa vyema ya kueleweka.Ili watu watatue changamoto Haraka.

JF Ina msaada Mkubwa sana kwenye mambo mengi ya kijamii
 
Hii ni wizara nyeti na yenye matatizo makubwa ya utendaji wa maafisa wa ardhi wa wilaya na mikoa. Kidogo Lukuvi aliwafuatilia kwa karibu na kuchukua hatua ilipobidi.

Leo Waziri Mabula naona ni kama vile wizara haina Waziri.

Wanatamba kuwa tulisema ataondoka Lukuvi atatuacha, na huyu tena mama atatuacha.

Waziri Mabula jitokeze, kwako kuna matatizo ya hao maafisa ardhi wateule na matatizo lukuki.

Njoo Muheza, kutana na wananchi wa kata ya Mlingano, kuna maajabu yanafanyika hapo na ardhi ya mashamba waliyopewa na Magufuli

F020DB1B-3397-4241-A727-319F036582A9.jpeg
 
Hii ni wizara nyeti na yenye matatizo makubwa ya utendaji wa maafisa wa ardhi wa wilaya na mikoa. Kidogo Lukuvi aliwafuatilia kwa karibu na kuchukua hatua ilipobidi.

Leo Waziri Mabula naona ni kama vile wizara haina Waziri.

Wanatamba kuwa tulisema ataondoka Lukuvi atatuacha, na huyu tena mama atatuacha.

Waziri Mabula jitokeze, kwako kuna matatizo ya hao maafisa ardhi wateule na matatizo lukuki.

Njoo Muheza, kutana na wananchi wa kata ya Mlingano, kuna maajabu yanafanyika hapo na ardhi ya mashamba waliyopewa na Magufuli
Hii Wizara nadhani inahitaji Waziri mkali na mfuatiliaji. Lukuvi alikuwa vizuri ila double dealings zake zilikwamisha baadhi ya mambo.

Kwa mfano, ukiangalia upimaji wa viwanja Dodoma ni wizi mtupu. Kuna mtandao uliopo ardhi Dodoma ambao kazi yake ni kupora maeneo ya watu katika upimaji.

Wanasema Mkurugenzi hawaambii chochote na wala Waziri hana cha kuwafanya.

Wengine wanasema waziwazi ni muda wao wa kuwa matajiri kupitia upimaji wa viwanja.
 
Hii Wizara nadhani inahitaji Waziri mkali na mfuatiliaji. Lukuvi alikuwa vizuri ila double dealings zake zilikwamisha baadhi ya mambo. Kwa mfano, ukiangalia upimaji wa viwanja Dodoma ni wizi mtupu. Kuna mtandao uliopo ardhi Dodoma ambao kazi yake ni kupora maeneo ya watu katika upimaji. Wanasema Mkurugenzi hawaambii chochote na wala Waziri hana cha kuwafanya. Wengine wanasema waziwazi ni muda wao wa kuwa matajiri kupitia upimaji wa viwanja.
Na hiyo ndiyo kauli ya watu wa idara ya ardhi kuwa hata Rais hawaambii kitu. Na kweli kauli hiyo inafanya kazi maana uporaji unapamba Moto day after day...
 
Back
Top Bottom