chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimeona katika mitandao, SSH atakuwa mkoa wa Morogoro, ungependa uongozi wa mkoa huo utoe mrejesho gani kuhusu utendaji wa serikali?
Mimi naona apewe mrejesho kuhusu mashamba pori yaliyorudishwa kwa wananchi, kama walipewa hati, au laa, iwapo ilifanyika kazi ya kupanga matumizi bora ya ardhi, wangapi wamenufaika, kati yqo vijana wangapi, na wanawake wangapi. Pia uwiano wa wanufaika kati ya wakulima na wafugaji.
Weka la kwako hapa ambalo unataka Rais apewe mrejesho.
#waukae.
Mimi naona apewe mrejesho kuhusu mashamba pori yaliyorudishwa kwa wananchi, kama walipewa hati, au laa, iwapo ilifanyika kazi ya kupanga matumizi bora ya ardhi, wangapi wamenufaika, kati yqo vijana wangapi, na wanawake wangapi. Pia uwiano wa wanufaika kati ya wakulima na wafugaji.
Weka la kwako hapa ambalo unataka Rais apewe mrejesho.
#waukae.