Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Sasa inapoelekea systems hizo hazifanyi kazi basi ujue kuna hujuma ili hela zilipwe kwenye mifuko ya watu.
Wizara ya Ardhi, nimejaribu kutumia web page hii ili kukadiria na kulipa kodi bila mafanikio. Pole mama yangu Tanzania.
Soma Pia: Application ya GePG Tanzania haifanyi kazi upande wa kulipia kodi ya Ardhi?