Wizara ya Ardhi-Web page yenu ya kukadiria kodi ya viwanja haifanyi kazi

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Ardhi wajitafakari, wafanyakazi hapo wizarani wanapenda zile foleni ili wawatoe upepo wananchi.
 
Ukibofya sehemu ya kuchagua mkoa au hata wilaya hakuna orodha inayotokea.
 
Sijui sasa, ila mpaka mwezi wa sita 2024 ilikuwa inafanya kazi vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…