Wizara ya Elimu Tanzania, imekuwa ikichimba kaburi la kuizikia elimu kwa muda mrefu sana! kwa kutosikiliza madai ya walimu, kutozipatia shule vitabu mujarabu vya kiada na ziada, kutokujenga maabara, kutojenga mabweni ya wanafunzi, kuwapeleka walimu katika vituo vyenye mazingira mabovu kabisa ya kufanya kazi utadhani ilikuwa lazima kila kijiji kijengewe shule! kuondoa nguvu ya mitihani ya kidato cha pili,kuruhusu Objective questions hadi katika hesabu kwa shule za msingi, na hili la juzi la BRN iliyokuja na aina mpya ya upangaji wa matokeo ya kidato cha nne yaliyowanufaisha wengi.
sasa katika kukamilisha maziko hayo, Wizara yetu hii "pendwa" inataka wanafunzi woote wa liomaliza form four 2013 na kupata ufaulu wa D katika masomo yake na yanatengeneza kombi, basi aende A LEVEL. What a shame! kwahiyo haitakuwa tena C This time eti ni D! MAKUBWA! Kama siyo kuizika kabisa elimu maana yake nini?
sasa katika kukamilisha maziko hayo, Wizara yetu hii "pendwa" inataka wanafunzi woote wa liomaliza form four 2013 na kupata ufaulu wa D katika masomo yake na yanatengeneza kombi, basi aende A LEVEL. What a shame! kwahiyo haitakuwa tena C This time eti ni D! MAKUBWA! Kama siyo kuizika kabisa elimu maana yake nini?