Huyu REO kwa kweli hafai kabisa sio tu kukaa mkoa wa Mbeya bali hafai kwa cheo hicho ,kazi yake ni uzinzi tu na majungu; waalimu wachapa kazi kama yule mama mkuu wa Loleza ndio anawapikia majungu waondolewe kwani hawafuati matakwa yake!! Kuna umuhimu kwa wizara kumchukulia hatua za haraka kabla mambo hayajawa mabaya zaidi..