Wizara ya elimu tangazeni matokeo ya kidato cha pili.

Nzagabulu

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
60
Reaction score
8
Ni wiki ya pili tangu shule za sekondari mkoa wa kigoma zifunguliwe,ukitembelea shule nyingi katika halimashauri za kigoma hazina wanafunzi wa kidato cha tatu, ukifuatilia zaidi utaambiwa wanafunzi hawahudhurii kwa sababu hawajielewi wapo kidato gani, ili kuondoa hizo sababu zisizo na msingi wizara ya elimu itangaze matokeo ili aliye kidato cha pili ajitambue na aliye kidato cha tatu ajitmbue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…