mapambanodaima
Senior Member
- Oct 22, 2012
- 108
- 15
Nimefurahishwa sana na taarifa ya kuvuliwa madaraka kwa mkuu wa chuo cha ualimu korogwe na makamu wake.
Niwapongeze kwa maamuzi mazuri ila bado wanahitajika kuongeza kasi kwa vyuo vingine. Hakika vyuo vya ualimu vimekuwa maficho ya ufisadi kwakuwa wanashirikiana na wakuu wa idara hiyo kuzifaidi hizo pesa.
Pia kuna ubabaishaji mkubwa sana wa wakuu wa vyuo ambao unasababisha migogoro kwa watendaji wa chini yao kuanzia wakufunzi na hata walimu wa mazoezi.
Niamini kuwa wameanza kujinasua na aibu. Mkitekeleza majukumu yenu na kuacha ujamaa kazin mtainusuru wizara na kuepuka aibu zisizokuwa za lazima
Niwapongeze kwa maamuzi mazuri ila bado wanahitajika kuongeza kasi kwa vyuo vingine. Hakika vyuo vya ualimu vimekuwa maficho ya ufisadi kwakuwa wanashirikiana na wakuu wa idara hiyo kuzifaidi hizo pesa.
Pia kuna ubabaishaji mkubwa sana wa wakuu wa vyuo ambao unasababisha migogoro kwa watendaji wa chini yao kuanzia wakufunzi na hata walimu wa mazoezi.
Niamini kuwa wameanza kujinasua na aibu. Mkitekeleza majukumu yenu na kuacha ujamaa kazin mtainusuru wizara na kuepuka aibu zisizokuwa za lazima