Wizara ya elimu yalipa baadhi ya madai ya walimu

Shukrani sana mkuu kwa hii taarifa.Imenifaa mno
 
Hii inatia hasira kuona serikali inawalipa walimu wawili katika wilaya wakati kuna zaidi ya wlimu mia wanaoidai serikali.Kweli serikali yetu ina jambo ililokusudia kwa walimu na watoto wa walalahoi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…