bulama
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 561
- 135
Idara ya elimu kwakweli mnatia aibu kwa utendaji kazi wenu uliochini ya kiwango. Hiyo ikiwezekana ifumuliwe na,kupangwa upya. Rushwa imejaa kuanzia msijara mpaka .......æ.... Hivi sasa ukitaka mambo yaenda lazima upige safari kweda wizarani ukifika pale mazingaombwe yanaanzia kwenye mafaili unaweza kaa wiki nafaili usilione. kwakweli mnakela sn.