Mh!inaonekana huna taarifa za kutosha fatilia vizuri,watu wengi huwa wanakosa!!jamani mimi kila kukicha namwomba mungt wizara ya fedha waachie zile nafasi zao kwan zile huwa azimwachi m2. Labda uwe una sifa.JAMAN KAMA KUNA M2 ANA HABARI KUUSU LINI AU MWEZ GANI ZITATOKA ANIJULISHE NIJIPANGE.. PIA VP KUUSU ZILE ZA UTUMISHI WAMETOA MAJIBU? NAONA KIMYA YAPATA MWEZ WA 5 SASA.
serikali haina hela. IMEUWAWA
Dont expect any new employments at least until september
Tafuta kazi private sector achana na mambo ya kizamani serikali haina loopholes tena, waulize waliopo serikalini wakwambie