Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Uchawa ni kansa ambayo tunaulea, siku vikibumbuluka tutajita sana!
=====
Kupitia ukurasa wake wa Insta@Gerson Msigwa ameandika haya;
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) tunakuletea Tamasha la Muziki wa Dansi liitwalo KADANSEE LA MAMA SAMIA. Unakosaje?
Baada ya ukimya mrefu, sisi tunauanza mwaka 2025 kwa kurejesha heshima ya Muziki wa Dansi. Shughuli pevu kwa bendi zaidi ya 10 katika jukwaa moja itakuwa Februari 01, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni pale LEADERS CLUB Dar es Salaam.
Hivi umepata picha ya hasira walizonazo Wazee wa Dansi, Wenye Dansi yao, wenye tungo za kumtoa nyoka pangoni baada ya kukosa jukwaa kwa muda mrefu wamepanga kurudije?
Sikia hii, KIINGILIO NI BUUUUREE!!! Yaani siku hii ni kula dansi mpaka chweee!!!!
Uchawa ni kansa ambayo tunaulea, siku vikibumbuluka tutajita sana!
=====
Kupitia ukurasa wake wa Insta@Gerson Msigwa ameandika haya;
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) tunakuletea Tamasha la Muziki wa Dansi liitwalo KADANSEE LA MAMA SAMIA. Unakosaje?
Baada ya ukimya mrefu, sisi tunauanza mwaka 2025 kwa kurejesha heshima ya Muziki wa Dansi. Shughuli pevu kwa bendi zaidi ya 10 katika jukwaa moja itakuwa Februari 01, 2025 kuanzia saa 12:00 jioni pale LEADERS CLUB Dar es Salaam.
Hivi umepata picha ya hasira walizonazo Wazee wa Dansi, Wenye Dansi yao, wenye tungo za kumtoa nyoka pangoni baada ya kukosa jukwaa kwa muda mrefu wamepanga kurudije?
Sikia hii, KIINGILIO NI BUUUUREE!!! Yaani siku hii ni kula dansi mpaka chweee!!!!