Wizara ya Katiba na Sheria yazindua "Mama Samia Legal Aid Campaign" mkoani Iringa. Nchi yetu inaenda wapi?

Wizara ya Katiba na Sheria yazindua "Mama Samia Legal Aid Campaign" mkoani Iringa. Nchi yetu inaenda wapi?

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu.

Kwa hiyo kwenye hii nchi sasa hivi kila kitu kinapewa jina la Samia? Kwanini mnafanya kila kitu kwa tone ya Uchawa?

==============================================

Wakati nazunguka zunguka huko mtandaoni nimekutana na hii habari kwamba Wizara ya Katiba na Sheria kuwa wana program yao waliyoiita "Mama Samia Legal Aid Campaign" ambayo ina lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria

Kampeni hiyo imezinduliwa rasmi Mkoani Iringa na itatekelezwa kwa siku 10 mfululizo, kuanzia leo hadi tarehe 19 Disemba 2024.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, ameeleza kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu sheria na haki za binadamu, hasa haki za wanawake na watoto.

Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, amesema kuwa kampeni hiyo ni ya kitaifa na inaendelea kutekelezwa kwa ushirikiano wa ngazi za kitaifa, kimkoa, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

Soma pia:
Dkt. Rwezimula amesema kuwa huduma hiyo inalenga kuwafikia wananchi wa mikoa yote 26 ya Tanzania, ambapo tayari mikoa 7 imeshapata huduma hiyo.

Kesho, tarehe 11 Desemba 2024, kampeni hiyo itazinduliwa rasmi mkoani Mara, baada ya hapo, itazinduliwa mkoani Songwe tarehe 12 Desemba 2024, kisha mkoani Morogoro, Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wa mikoa yote ya Tanzania wanapata huduma za msaada wa kisheria kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

 
Wakuu.

Kwa hiyo kwenye hii nchi sasa hivi kila kitu kinapewa jina la Samia? Kwanini mnafanya kila kitu kwa tone ya Uchawa?

==============================================

Wakati nazunguka zunguka huko mtandaoni nimekutana na hii habari kwamba Wizara ya Katiba na Sheria kuwa wana program yao waliyoiita "Mama Samia Legal Aid Campaign" ambayo ina lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria

Kampeni hiyo imezinduliwa rasmi Mkoani Iringa na itatekelezwa kwa siku 10 mfululizo, kuanzia leo hadi tarehe 19 Disemba 2024.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, ameeleza kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu sheria na haki za binadamu, hasa haki za wanawake na watoto.

Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, amesema kuwa kampeni hiyo ni ya kitaifa na inaendelea kutekelezwa kwa ushirikiano wa ngazi za kitaifa, kimkoa, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

Soma pia: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

Dkt. Rwezimula amesema kuwa huduma hiyo inalenga kuwafikia wananchi wa mikoa yote 26 ya Tanzania, ambapo tayari mikoa 7 imeshapata huduma hiyo.

Kesho, tarehe 11 Desemba 2024, kampeni hiyo itazinduliwa rasmi mkoani Mara, baada ya hapo, itazinduliwa mkoani Songwe tarehe 12 Desemba 2024, kisha mkoani Morogoro, Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wa mikoa yote ya Tanzania wanapata huduma za msaada wa kisheria kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha 2024/2025.


View attachment 3173967
Napendekeza Tanzania iitwe Samialand au chawaland.
 
Wakuu.

Kwa hiyo kwenye hii nchi sasa hivi kila kitu kinapewa jina la Samia? Kwanini mnafanya kila kitu kwa tone ya Uchawa?

==============================================

Wakati nazunguka zunguka huko mtandaoni nimekutana na hii habari kwamba Wizara ya Katiba na Sheria kuwa wana program yao waliyoiita "Mama Samia Legal Aid Campaign" ambayo ina lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria

Kampeni hiyo imezinduliwa rasmi Mkoani Iringa na itatekelezwa kwa siku 10 mfululizo, kuanzia leo hadi tarehe 19 Disemba 2024.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, ameeleza kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu sheria na haki za binadamu, hasa haki za wanawake na watoto.

Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, amesema kuwa kampeni hiyo ni ya kitaifa na inaendelea kutekelezwa kwa ushirikiano wa ngazi za kitaifa, kimkoa, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

Soma pia: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

Dkt. Rwezimula amesema kuwa huduma hiyo inalenga kuwafikia wananchi wa mikoa yote 26 ya Tanzania, ambapo tayari mikoa 7 imeshapata huduma hiyo.

Kesho, tarehe 11 Desemba 2024, kampeni hiyo itazinduliwa rasmi mkoani Mara, baada ya hapo, itazinduliwa mkoani Songwe tarehe 12 Desemba 2024, kisha mkoani Morogoro, Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wa mikoa yote ya Tanzania wanapata huduma za msaada wa kisheria kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha 2024/2025.


View attachment 3173967
Ni another form of uchawa. What sad ni wasomi hawa wanakuja na hizi ideas.
 
Hii Samia Legal Aid ndio imemfanya Mwakubusi kuingia kwenye mfumo🐼
 
Imefika sehemu siwalaumu tena wazazi wetu waliouza nchi kwa kusainishwa mikataba wasioijua maana hawakuwa wanajua kusomma wala kuandika.
Hapa aliyebuni hili wazo ni degree holder. What a shame
 
Wakuu.

Kwa hiyo kwenye hii nchi sasa hivi kila kitu kinapewa jina la Samia? Kwanini mnafanya kila kitu kwa tone ya Uchawa?

==============================================

Wakati nazunguka zunguka huko mtandaoni nimekutana na hii habari kwamba Wizara ya Katiba na Sheria kuwa wana program yao waliyoiita "Mama Samia Legal Aid Campaign" ambayo ina lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria

Kampeni hiyo imezinduliwa rasmi Mkoani Iringa na itatekelezwa kwa siku 10 mfululizo, kuanzia leo hadi tarehe 19 Disemba 2024.

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa, Ibrahim Ngwada, ameeleza kuwa lengo la kampeni hiyo ni kuimarisha upatikanaji wa huduma za msaada wa kisheria na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu sheria na haki za binadamu, hasa haki za wanawake na watoto.

Naye Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, amesema kuwa kampeni hiyo ni ya kitaifa na inaendelea kutekelezwa kwa ushirikiano wa ngazi za kitaifa, kimkoa, na Mamlaka ya Serikali za Mitaa.

Soma pia: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

Dkt. Rwezimula amesema kuwa huduma hiyo inalenga kuwafikia wananchi wa mikoa yote 26 ya Tanzania, ambapo tayari mikoa 7 imeshapata huduma hiyo.

Kesho, tarehe 11 Desemba 2024, kampeni hiyo itazinduliwa rasmi mkoani Mara, baada ya hapo, itazinduliwa mkoani Songwe tarehe 12 Desemba 2024, kisha mkoani Morogoro, Lengo kuu ni kuhakikisha kuwa wananchi wa mikoa yote ya Tanzania wanapata huduma za msaada wa kisheria kabla ya kumalizika kwa mwaka wa fedha 2024/2025.


View attachment 3173967
Uchawa unaondoa akili na kulete utegemezi!
Awamu ya JPM ilifika hatua hadi machawa na kaya zao walibadilisha majina!
Chawa bila host hawezi kuishi!
 
Back
Top Bottom