Wizara ya Kazi, Ajira na maendeleo ya vijana- Tovuti yenu inatia aibu

Wizara ya Kazi, Ajira na maendeleo ya vijana- Tovuti yenu inatia aibu

MovingForward

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2009
Posts
489
Reaction score
49
Ndg zangu, leo nimepitia tovuti hii: The Tanzania National Website, unapofungua tu unakutana na maneno yanayosema " Today is 27th November 2009". Hii ni aibu. Yaani wataalamu wenu wameshindwa kuseti tovuti yenu iwe inashindwa hata kukumbuka tarehe???? Kama mmeshindwa kuweka taarifa zinazokwenda na wakati, hata tarahe nayo mmeshindwa kuseti vizuri.

Huu ni uzembe.
 
Ndio hivyo tena ndugu yangu, nchi ya kitu kidogo hakuna la maana linalofanyika. Pole kwe kukwazika. Wataalamu wapo, ila hawapewi nafasi kwa sababu wengi wao sio watoto wa wakubwa!
 
Back
Top Bottom