Hii wizara inangoja nini kutoa mwongozo wa zao la choroko kuhusu bei maana imekua kimya alimanusura tupo Afghanstan.
Waziri husika embu changamka sio mpaka Rais Samia afanye kila jambo.
NB: Wanyonge wamezika hela humo kwenye kilimo hiko sasa kuzifukua imekua shida kubwa!
Waziri husika embu changamka sio mpaka Rais Samia afanye kila jambo.
NB: Wanyonge wamezika hela humo kwenye kilimo hiko sasa kuzifukua imekua shida kubwa!