Wizara ya Maendelo ya Jamii: Kumpa tuzo aliyekimbiwa na Bi. Harusi, Waziri Gwajima ampigia simu

Wizara ya Maendelo ya Jamii: Kumpa tuzo aliyekimbiwa na Bi. Harusi, Waziri Gwajima ampigia simu

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum Dkt. Dorothy O. Gwajima. Ametoa ahadi kwa kijana Edward Futakamba kupitia Wizara watampa tuzo ya Mwanaume bora ili kuhamasisha watu wengine hata katika mapito magumu ukisimama unabaki na hekima halafu unapandisha hadhi yako.

Ametoa ahadi hiyo kwa njia ya simu kupitia mahojiano yalifanywa na MillardAyo na kumpongeza kwa kuwa mtulivu bila kuzingatia nini kimetokea katika mapito yote hayo lakini alionyesha kutulia na kubeba hekima.

Soma Pia: Afanya sherehe ya harusi bila Bibi Harusi, baada ya kikeni kuzingua dakika za jioni

Aidha Dkt Gwajima amesema kama Wanaume wote watakuwa wapo hivyo hakika tutapunguza ukatili na Wanaume kufungwa kwenda jela kwa sababu ya jaziba.
 
Lisu hana hekima hiyo yuko tayari taifa zima lizame kisa tu maslahi yake hayajazingatiwa
Lissu alishasema wazi hana kazi na wanaume, na anashangaa wanaofatilia mahusiano yake, hii ni kumjibu makonda baada ya makonda kudai lissu kaonekana anambusu mzungu airport


Mada ya mapenzi, we uko busy unamuwaza lissu, jiangalie brother
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum Dkt. Dorothy O. Gwajima. Ametoa ahadi kwa kijana Edward Futakamba kupitia Wizara watampa tuzo ya Mwanaume bora ili kuhamasisha watu wengine hata katika mapito magumu ukisimama unabaki na hekima halafu unapandisha hadhi yako.

Ametoa ahadi hiyo kwa njia ya simu kupitia mahojiano yalifanywa na MillardAyo na kumpongeza kwa kuwa mtulivu bila kuzingatia nini kimetokea katika mapito yote hayo lakini alionyesha kutulia na kubeba hekima.

Soma Pia: Afanya sherehe ya harusi bila Bibi Harusi, baada ya kikeni kuzingua dakika za jioni

Aidha Dkt Gwajima amesema kama Wanaume wote watakuwa wapo hivyo hakika tutapunguza ukatili na Wanaume kufungwa kwenda jela kwa sababu ya jaziba.
Kweli kabisa ndugu yangu. Kitu alichofanyiwa ingekuwa wengine wale wanaotawaliwa na hasira, hekima haipo, mtakubaliana nami kuwa Leo tungekuwa tuna stori ingine.

Tunapoisihi jamii kuepuka ukatili wa kijinsia na walau mmoja akaishinda hasira kwa hekima, inapendeza Sana kumtia moyo na kutambua hekima yake. Huenda ikawa chachu ya mabadiliko kwa wengine 🙏🏽
 
Kweli kabisa ndugu yangu. Kitu alichofanyiwa ingekuwa wengine wale wanaotawaliwa na hasira, hekima haipo, mtakubaliana nami kuwa Leo tungekuwa tuna stori ingine.

Tunapoisihi jamii kuepuka ukatili wa kijinsia na walau mmoja akaishinda hasira kwa hekima, inapendeza Sana kumtia moyo na kutambua hekima yake. Huenda ikawa chachu ya mabadiliko kwa wengine 🙏🏽
Ushauri kwa wanaume; ikitokea mwanamke akizingua kama vile haina haja ya ugomvi, unatangaza wanawake waliohudhuria wanaotaka kuolewa wasogee jukwaani. Unachagua mmoja kati yao na na unamuoa hapo hapo.hakuna mchezo mchezo. Au unaona je mheshimiwa?😄😄😄
 
Mwanaume kafanyiwa Ukatili wa kisaikokojia hapo Watu wanampongeza.

Serikali iliangalie Hilo, kumsifu Mtu aliyefanyiwa uhuni Kwa kumwambia amekuwa na hekima na utulivu ni kuruhusu matukio kama hayo kuzidi kutokea.

Siô kîla Mwanaume atakuwa na uvumilivu wa maumivu kama ya huyo Mshikaji.

Kikawaida Yule anayemaliza ndiye huonekana mbaya huku aliyeanzisha akionekana Hana Kosa.

Alichofanya Bibi Harusi kikemewe, NI udhalilishaji na kumfedhehesha Mtu.
Kama alikuwa hataki Harusi Kwa nini asingetoa tàarifa mapema na siô kusubiri kutiana aibu.
 
Kweli kabisa ndugu yangu. Kitu alichofanyiwa ingekuwa wengine wale wanaotawaliwa na hasira, hekima haipo, mtakubaliana nami kuwa Leo tungekuwa tuna stori ingine.

Tunapoisihi jamii kuepuka ukatili wa kijinsia na walau mmoja akaishinda hasira kwa hekima, inapendeza Sana kumtia moyo na kutambua hekima yake. Huenda ikawa chachu ya mabadiliko kwa wengine 🙏🏽
Hongera kwa hatua Mheshimiwa
Ila tunaomba ukemee vitendo vya utapeli wa mapenzi
Hakuna anayependa kupotezewa muda/kufedheheshwa
Mtie moyo kijana ila pia mkanye binti na wahusika
Kwa jamii kwa ujumla
 
Hongera kwa hatua Mheshimiwa
Ila tunaomba ukemee vitendo vya utapeli wa mapenzi
Hakuna anayependa kupotezewa muda/kufedheheshwa
Mtie moyo kijana ila pia mkanye binti na wahusika
Kwa jamii kwa ujumla
Hakika, formula ya mapenzi ni uaminifu kwenye ahadi au mapema kabisa usiingie kwenye mikataba hiyo kwani kwenye mahusiano ya mapenzi sijui vipi ndiyo shetani naye kawekeza uharibifu hapo hapo
 
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum Dkt. Dorothy O. Gwajima. Ametoa ahadi kwa kijana Edward Futakamba kupitia Wizara watampa tuzo ya Mwanaume bora ili kuhamasisha watu wengine hata katika mapito magumu ukisimama unabaki na hekima halafu unapandisha hadhi yako.

Ametoa ahadi hiyo kwa njia ya simu kupitia mahojiano yalifanywa na MillardAyo na kumpongeza kwa kuwa mtulivu bila kuzingatia nini kimetokea katika mapito yote hayo lakini alionyesha kutulia na kubeba hekima.

Soma Pia: Afanya sherehe ya harusi bila Bibi Harusi, baada ya kikeni kuzingua dakika za jioni

Aidha Dkt Gwajima amesema kama Wanaume wote watakuwa wapo hivyo hakika tutapunguza ukatili na Wanaume kufungwa kwenda jela kwa sababu ya jaziba.
 

Attachments

  • IMG-20241004-WA0041.jpg
    IMG-20241004-WA0041.jpg
    46.1 KB · Views: 4
Back
Top Bottom